nina simu Nokia n73 symbian os orijino,nimeichoka kuitumia na ipo katika hali nzuri natafuta mtu wa kubadilishanae na simu nyingine,yoyote anijulishe ana simu gani tumadilishane!
acheni mambo ambayo hata mtu aliyetokea bush leo hawez fanya,kama ishu haikuhusu kaa kimya!,mbona kuna waungwana wameni pm na tunamaliza ishu mda c mrefu!