Natafuta mtu wa IT mzuri kwenye designing

Natafuta mtu wa IT mzuri kwenye designing

DALALI MKUU

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
2,427
Reaction score
5,738
Kwa dharura. natafuta Mtu mzuri wa IT anayejua vizuri kudesign kuna kazi inamhitaji mtu. Awe ni mtnza siri na anayeweza kufanya kazi kwa haraka. Malipo ni makubaliano kazi ni ya Day

NB sio KAZ ya kudumu nataka kazi yangu uifanye kwa siku moja tu.
 
mi naweza ila hiyo kazi haina hela kwa sasa 🚮🚮🚮
umasikini mtupu
 
Kwa dharura. natafuta Mtu mzuri wa IT anayejua vizuri kudesign kuna kazi inamhitaji mtu. Awe ni mtnza siri na anayeweza kufanya kazi kwa haraka. Malipo ni makubaliano kazi ni ya Day

NB sio KAZ ya kudumu nataka kazi yangu uifanye kwa siku moja tu.
Mkuu naomba tuwasiliane nikutengenezee kitu custom cha kudumu ukiona kizuri unaweza kuniajiri.

Naweza kujitolea kukutengenezea hata bute kwa kujitolea kwanza
 
Mkuu naomba tuwasiliane nikutengenezee kitu custom cha kudumu ukiona kizuri unaweza kuniajiri.

Naweza kujitolea kukutengenezea hata bute kwa kujitolea kwanza
Kakwambia kazi ni moja, unaifanya kwa siri unaishia zako na kibunda.mkuu sio kila pahala ni pa kujishusha ili utengeneze cv.
 
Mkuu naomba tuwasiliane nikutengenezee kitu custom cha kudumu ukiona kizuri unaweza kuniajiri.

Naweza kujitolea kukutengenezea hata bute kwa kujitolea kwanza
kazi ni moja tu mkuu inahitaji mtu mchapu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom