Natafuta mtaalamu wa valuation ya Nyumba

Natafuta mtaalamu wa valuation ya Nyumba

Nyumba ya urithi haiuzwi kamwe, laana hiyo mnatafuta

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Mkuu.
Tumekomaa nayo kwa miaka 18 isiuzwe.
Kuna mali zingine ziliuzwa na baadhi ya ndugu bila sisi kunufaika, ni nyumba tu iliyokuwa imebaki(nayo walitaka waiuze). Tumeitunza, imetusaidia kma sisi kusoma, na wenyewe madogo pia. Sasa saizi madogo washakuwa wakubwa na wenyewe ndo wanataka iuzwe.

Sijajua kosa litakuwa wapi hapo. Labda, ungesaudia kueleza mkuu laana tutaipataje?
 
Asante Mkuu.
Tumekomaa nayo kwa miaka 18 isiuzwe.
Kuna mali zingine ziliuzwa na baadhi ya ndugu bila sisi kunufaika, ni nyumba tu iliyokuwa imebaki(nayo walitaka waiuze). Tumeitunza, imetusaidia kma sisi kusoma, na wenyewe madogo pia. Sasa saizi madogo washakuwa wakubwa na wenyewe ndo wanataka iuzwe.

Sijajua kosa litakuwa wapi hapo. Labda, ungesaudia kueleza mkuu laana tutaipataje?
Nimeona familia nyingi ambazo waliuza mali za wazee, wengi naona wamebakia makapuku kabisaa na wakati wazee wao waliacha mali za kutosha, pia huwa kuna kauli mali ya urithi haiuzwi na ikiuzwa ile pesa hakuna kitu cha maana utafanya nayo,
Ikiwa unakaa na wazee utasikia haya maneno
Nahisi yana kweli maana nshaona kwa familia mingi tuuu sorry kuna connection.
Anyway we uza tuu ufanye kama proof
Utuletee mrejesho


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom