Natafuta msichana/ mpenzi alonizidi umri

Natafuta msichana/ mpenzi alonizidi umri

zam's son

Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
72
Reaction score
37
Mi ni boy wa miaka 25 kutoka Arusha natafuta mpenzi wa kike aliyenizidi umri kutoka sehemu mbalimbali but Arusha is recommended.Kigezo kikubwa ni kua msichana huyo umri wake uwe umeanzia miaka 27 na kuendelea.

This serious just PM me u ladies
 
Kuna demu ana miaka 54 anatafuta mwanaume, nikuunganishe nae?
 
Usiseme unatafuta demu, sema natafuta wamama watu wazima.
 
mkuu huyo wa miaka 54 mbona atakuwa ajuza....a.k.a kikogwe,
mie nadhani huyo anamfaa "shaibu".

Yy kasemq nimuunganishe nae...unajua vijana waliozaliwa kuanzia 1988 ni lege lege sana, wengi wanaishiq kutafuta wanawake wazee wajane ili wawasaidie kujikimu kimaisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom