Natafuta msichana Mkurya Mweupe

kila siku humu mnatafuta wake, ila hamji kusema kama mmepata, au ndio mnakuja na gia ya kuoa kisha mnatafuna na kuwatema kama Big G, ILA kila siku unasema bado tu sijapata kumbe unapanga behewa. mmmh!!!!!!!!!!!!!
 
kila siku humu mnatafuta wake, ila hamji kusema kama mmepata, au ndio mnakuja na gia ya kuoa kisha mnatafuna na kuwatema kama Big G, ILA kila siku unasema bado tu sijapata kumbe unapanga behewa. mmmh!!!!!!!!!!!!!

Sio mimi dada
 
Kujazia ndio nini? Wakurya weupe wote wameshachumbiwa weusi hutaki weye!?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…