Natafuta Mpenzi

The last thing i can do, ni kukuchezea..
Ukishakuwa tayari tu niambie nije kujitambulisha ukweni.
Bado natakiwa kusubiri sana?

Miaka 5 tu, si unaenda kusomea udokta au umeahirisha?
 
acha use**nge wa kutafuta mpenz jf .
.. una akili wew ...shoga wew......
 
acha use**nge wa kutafuta mpenz jf .
.. una akili wew ...shoga wew......

Hapa ni kwa magreat thinker, nakushangaa wewe usiye na upeo,hujielewi....
Jf ni sehem sahihi kwa watu sahihi.
Tatizo lipo kwenye hilo jina lako.
 
Ni kwa nini nyie wanaume imekuwa ikifika usiku wa saa 2:30-4:00, munaaza kuandika thread za kutafuta wachumba.

kama mumeshidwa kuhimili miehemuko yanu na kushidwa kupiga punyeto
joon hapa kariakoo kwa madada poa watawasaidia, lakn jf munajisumbua tu.
 

Ni marachache sana kwa mtu mwenye kuhangaikia maisha awe anawaza mapenz mchana labda tu awe na matatizo yanayo-relate na mapenzi so usiku ndio mda wa kupumzika na kuona mapungufu na jinsi gani ya ku-solve.
 
Nashukuru nimempata ila tuko imani tofauti (dini) na kasema yeye hana tatizo la kunifata kwa imani yangu ila wazazi wake inaweza ikawa shida ikifika mda wa ndoa/harusi....sa sijui inakueje hapo!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…