Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

kev the don

Member
Joined
Aug 3, 2014
Posts
33
Reaction score
6
Mimi ni kijana umri miaka 24, natafuta mrembo humu ndani.

Vigezo.
•Umri kuanzia 18~22
•Awe mrefu wa wastani ila sio sana , na hata ukiwa mfup kama kistur sio mbaya
•Awe mweupe natural sio wa mkorogo ntakupokea
•Awe mweusi pia atapokelewa
•Awe simple asiyependa makuu
•Mwenye mapenz ya kweli akizama kazama kwel kwel
•kabila lolote
•Dini yoyote
•Elimu kuanzia form 4

Note.
mchagga ,mpare mbondei, msambaa will be an added advantage.


Karibuni.
 
Mimi ni kijana umri miaka 24, natafuta mrembo humu ndani.

Vigezo.
•Umri kuanzia 18~22
•Awe mrefu wa wastani ila sio sana , na hata ukiwa mfup kama kistur sio mbaya
•Awe mweupe natural sio wa mkorogo ntakupokea
•Awe mweusi pia atapokelewa
•Awe simple asiyependa makuu
•Mwenye mapenz ya kweli akizama kazama kwel kwel
•kabila lolote
•Dini yoyote
•Elimu kuanzia form 4

Note.
mchagga ,mpare mbondei, msambaa will be an added advantage.


Karibuni.

hongera kwakujaribu kutafta
 
Mimi ni kijana umri miaka 24, natafuta mrembo humu ndani.

Vigezo.
•Umri kuanzia 18~22
•Awe mrefu wa wastani ila sio sana , na hata ukiwa mfup kama kistur sio mbaya
•Awe mweupe natural sio wa mkorogo ntakupokea
•Awe mweusi pia atapokelewa
•Awe simple asiyependa makuu
•Mwenye mapenz ya kweli akizama kazama kwel kwel
•kabila lolote
•Dini yoyote
•Elimu kuanzia form 4

Note.
mchagga ,mpare mbondei, msambaa will be an added advantage.


Karibuni.

nashauri uangalie vizuri hizo kabila usije ukajuta
 
Mimi ni kijana umri miaka 24, natafuta mrembo humu ndani.

Vigezo.
•Umri kuanzia 18~22
•Awe mrefu wa wastani ila sio sana , na hata ukiwa mfup kama kistur sio mbaya
•Awe mweupe natural sio wa mkorogo ntakupokea
•Awe mweusi pia atapokelewa
•Awe simple asiyependa makuu
•Mwenye mapenz ya kweli akizama kazama kwel kwel
•kabila lolote
•Dini yoyote
•Elimu kuanzia form 4

Note.
mchagga ,mpare mbondei, msambaa will be an added advantage.


Karibuni.

USHAURI.
fikiria kwanz kujiplan kimaisha nakua na guud future bicoz leo unatafuta mpez hazaran. 1 day utalia tuuu.
mapenz saiv ni starehe kw wavulana but ni biashara kw wasichana hasa age hizo za 20-25
 
USHAURI.
fikiria kwanz kujiplan kimaisha nakua na guud future bicoz leo unatafuta mpez hazaran. 1 day utalia tuuu.
mapenz saiv ni starehe kw wavulana but ni biashara kw wasichana hasa age hizo za 20-25

Tatizo ukwasi mama ndio maana hivo. Ila asante kwa ushauri wako mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom