Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

chemist

New Member
Joined
Jun 25, 2014
Posts
4
Reaction score
0
NATAFUTA MPENZI,mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 28...naishi mlandizi,kiukweli nahitaji msichana wa kudumu naye kwenye mapenzi.......awe mkristo....naitwa james.....0656411631
 
Unafanya shughuli gani?..sio unataka demu halaf huwezi kumpa matunzo
 
Kigezo kimoja tu(Awe mkristu). Hebu weka vigezo vyakutosha hapo au hata awe na miaka 60 kwako poa tu ilimradi upate mpezi, ukuweka vigezo uataona watakavyo kuPM ngoja waje
 
NATAFUTA MPENZI,mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 28...naishi mlandizi,kiukweli nahitaji msichana wa kudumu naye kwenye mapenzi.......awe mkristo....naitwa james.....0656411631

...ndogo wangu James ninakuonea huruma! wasichana wa Mitandaoni wamekubuhu' wengi wao wanataka vitu siyo watu! "wanahitaji vitu vya bei kali..." NInakushauri ukatafute kwingine, siyo mtandaoni...!
 
...ndogo wangu James ninakuonea huruma! wasichana wa Mitandaoni wamekubuhu' wengi wao wanataka vitu siyo watu! "wanahitaji vitu vya bei kali..." NInakushauri ukatafute kwingine, siyo mtandaoni...!

wa mtandaoni si ndio hao wa mtaani..... unaniharibia pande lol.
 
nitumie vocha kwenye pm yangu ili nikupigie baba nijaribu bahati yangu!
 
Kaka unataka mchumba au bomu ambalo litakulipukia muda wowote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom