Natafuta mpenzi

shamukwetu

Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
10
Reaction score
0
Naishi mwanza elimu yangu ni chuokikuu natafuta msichana mrembo na msafi awe na umri kati ya miaka 18-24 alieenda shule lakini pia awe ni mtoto wa kitajiri mkristo tuma ujumbe na picha via sbi.interco@gmail.com
 
Mtaani kwenu hakuna watu?
Kanisani kwenu?
Kijijini kwenu?
 
Trust me kizazi cha miaka kumi ijayo watu wengi watakuwa wanashuhudia wamekutana online
 
Duh... Sifa moja nimeikosa... Mie sio mtoto wa kitajiri!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…