Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

Kandrossy

Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
7
Reaction score
1
Habari,

Mimi ni kijana wa Kitanzania Government Servant, ninahitani mwanamke umri 23-30 HIV Negative, Superstitious Negative nikipata mnene mwenye mwili itakuwa safi, kwa aliyetayari.
 
Sasa ndugu yangu mbona mie huniitagi kwenye fursa za hivi wakati unajua kabisaaa na mimi ninatafuta!!!!

Hahah wewe nilikabidhiwa na babu Asprin...wataka nikuchuuze tena? [HASHTAG]#subutuu[/HASHTAG]
 
Dada yangu kipenzi Miss Natafuta ,

Natumai ombi lako limepata jibu...kipele kimepata mkunaji...kisima kimepata mchotaji...mtungi umepata kata.

Bila maneno mengi naomba kuwasilisha.

Wako,
Kaka Mentor.

Cc: RRONDO (kwa huyu naomba usiponde), Heaven Sent, atoto , Honey Faith Evelyn Salt ...
halafu siku hizi nimependeza yaani hadi boss wangu kaniambia eti niwe dereva wake ila najua ni wivu tu hataki kuniacha mahali !
 
halafu siku hizi nimependeza yaani hadi boss wangu kaniambia eti niwe dereva wake ila najua ni wivu tu hataki kuniacha mahali !


Naona mdau kaamua kuua thread yake mwenyewe maana na namba ya simu alikuwa ameweka.

Anyway...
 
Naona mdau kaamua kuua thread yake mwenyewe maana na namba ya simu alikuwa ameweka.

Anyway...
achana nae hajitambui ngoja nijipumzishe wanaume wengi humu jf watu wazima ila hawajitambui
 
achana nae hajitambui ngoja nijipumzishe wanaume wengi humu jf watu wazima ila hawajitambui


Kweli kabisa nilitaka niandike zaidi ya uliyosema nikaamua kuwa kimya tu...usiku mwema kwako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom