Vinahusiana sana. Lazima mwendane wenye itkadi zinazoendana. Sasa kama weww ni gamba pita kushoto
Wewe ulitaka wafikirie vipi na upeo wao wa kufikiri umepungua kivipi? Wewe kama huna hizo sifa unapita kimya kimya sio lazima ukosoe.
Kila mtu anaandika sifa anazozitaka kwa mwenza wake awe nazo. Nami nimeona sifa kuu ya mwenza wangu asiwe mkereketwa wa ccm basi. Sijui wewe kinakuwasha nini!? Kama huna hizo sifa pita kushoto usinilazimishe nifanane na wengine.Nimekukosoa nin??? Wanaotafuta wachumba wanaweza andika ulichoandika wew hapo?? Acha mambo kijinga bhana!!!
Kila mtu anaandika sifa anazozitaka kwa mwenza wake awe nazo. Nami nimeona sifa kuu ya mwenza wangu asiwe mkereketwa wa ccm basi. Sijui wewe kinakuwasha nini!? Kama huna hizo sifa pita kushoto usinilazimishe nifanane na wengine.
Dogo sitaki malumbano na wew. Naona unajifunza kutongaza hapa..
Umekosa hoja wewe king'ang'anizi. Nashangaa kwa nini umeng'ang'ania uzi usio kuhusu. Wewe huna sifa za mimi kukutongoza.
Chama na mahusiano wapi na wapi??????? vijana mmechanganyikiwa