Natafuta mpenzi baadae awe mchumba

matunzo ziro

Member
Joined
Oct 20, 2016
Posts
24
Reaction score
3
Umri wangu ni miaka 23 na ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo kimoja hapa nchini.Ni mwanaume mchapa kazi na nwenye upendo wa dhati.Msichana nae muhitaji awe mdogo kiumri kiasi kuliko Mimi.
Kwa msichana yeyote mwenye sifa niliyoitaja tafadhari naomba ani PM
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…