Habari wana jf, Mimi ni kijana wakiume nahitaji mke wa kuowa mwenye sifa zifuatazo, mweusi na mrefu wastani na unene wa Kati, elimu haijalishi na awe tayari kwenda kupima Ukimwi kabla ya yote. Mimi nafanya kazi katika taasisi moja ya fedha hapa Dar.
Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa kiume nahitaji mke wa kuowa mwenye sifa zifuatazo,
Mweusi na mrefu wastani na unene wa Kati.
Elimu haijalishi na awe tayari kwenda kupima UKIMWI kabla ya yote.
Mimi nafanya kazi katika taasisi moja ya fedha hapa Dar.