Natafuta mke

Natafuta mke

Huck

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2014
Posts
201
Reaction score
85
Awe na umri kuanzia miaka 18 mpaka 23
 
Yupo Dar. Kafiwa mara ya pili juzi. Marehemu wake kazikwa leo Lituhi, Mbinga. Ni Baba TOT. Binti bado mbichi wa miaka hiyo unayotaka. Ila ana kesi ya kuua bila kukusudia.

hivi kwani ni lazima kucoment kila uzi jamani???
 
Fika kituo chochote cha polisi karibu nawe uripoti kupotelewa na mkeo...

Polisi watakusaidia kumtafuta...
 
Yupo Dar. Kafiwa mara ya pili juzi. Marehemu wake kazikwa leo Lituhi, Mbinga. Ni Baba TOT. Binti bado mbichi wa miaka hiyo unayotaka. Ila ana kesi ya kuua bila kukusudia.

acha utoto grow up
 
Ooh really...ungejiita siafu mke bora. Maaana unajibu yasiyokusu. Ukipiga kimya utapungua nini
haya ww mjanja...ila huku ni kuharibu nyuzi za watu bila sababu ni ka utoto flani hivi wa kipumbavu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom