fergie
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 280
- 127
Habari wana jf
Mimi kijana wa miaka 27 naishi dsm na nimeajiriwa na kampuni moja ya ujenzi.
Natafuta mwanamke wa kuoa kwa sasa umri wake usiwe chini ya miaka 20,haijalishi km ameajiriwa au la as long as tutapata muda wa kufahamiana nkavutiwa na tabia yake ntamuoa.
TUWASILIANE PM KWA YULE ATAKAE KUWA TAYARI.
ASANTENI.
Mimi kijana wa miaka 27 naishi dsm na nimeajiriwa na kampuni moja ya ujenzi.
Natafuta mwanamke wa kuoa kwa sasa umri wake usiwe chini ya miaka 20,haijalishi km ameajiriwa au la as long as tutapata muda wa kufahamiana nkavutiwa na tabia yake ntamuoa.
TUWASILIANE PM KWA YULE ATAKAE KUWA TAYARI.
ASANTENI.