BlackBella
Member
- Aug 10, 2012
- 28
- 10
duuh am too old
for this aisee dah
Nina miaka 44,natafuta mwanamke ambae anaitaji MUME kikweli na sio mpimajoto,ni muda mrefu sana natafuta mke lkn wote ni wapimajoto hii ndio sababu mpaka umri huu naangaika kupata mwanamke anaeitaji mume,sina ubaguzi wa umri,dini,kabila,rangi,kwa ufupi sina ubaguzi wowote.
Smile hapa full kudekezwa....ameshaizunguka dunia nzima huyu
Tamatheo acha utani!! Kuna wa umri huo unakuta wameshindikana kabisa kwa tabia!!! That is hawawezekaniki na wanawake wanachapa lapa!! Sidhani kama BlackBella ana tabia mbaya!!
Nina miaka 44,natafuta mwanamke ambae anaitaji MUME kikweli na sio mpimajoto,ni muda mrefu sana natafuta mke lkn wote ni wapimajoto hii ndio sababu mpaka umri huu naangaika kupata mwanamke anaeitaji mume,sina ubaguzi wa umri,dini,kabila,rangi,kwa ufupi sina ubaguzi wowote.
Nina miaka 44,natafuta mwanamke ambae anaitaji MUME kikweli na sio mpimajoto,ni muda mrefu sana natafuta mke lkn wote ni wapimajoto hii ndio sababu mpaka umri huu naangaika kupata mwanamke anaeitaji mume,sina ubaguzi wa umri,dini,kabila,rangi,kwa ufupi sina ubaguzi wowote.
Ndugu huyu ni shida jana saa 15:58 alikuwa na miaka 46 na alikuwa anataka mtoto wa kike wa hiari,leo ana miaka 44 anataka mke ni shidaa