Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
<br />Mlikosana nin na mama erick?
<br />
<br />
alikuwa ananijia juu sana kwa kujiamini bila kutambua nafasi yake kama mke kutokana na kiburi cha uwezo wa familia yao
<br /><font size="3"><span style="font-family: trebuchet ms">Baba eric bwana...hebu nenda Dubai ukamchukue mama watoto wako...Eric anammiss mama yake.</span></font>
<br />je unadhani hiyo ndo sababu ya msingi kumwacha mke???<br />
<br />
je huyu unayetafuta unataka vigezo vipi??? wewe ni mwenyeji wa mkoa gani???
<br />
<br />
yeye aliamua kuondoka baada ya kujaribu kumwonya akajikataa
<br /><ol class="decimal"><li>njia zipi ulitumia kumwonya ????</li><li> baada ya kuondoka ulijaribu kutafuta suluhu naye ???</li><li>tangu mmeachana ni muda gani umepita???</li><li>je mna mawasiliano naye ???</li></ol>
<br /><br />je unadhani hiyo ndo sababu ya msingi kumwacha mke???<br /><br />
<br /><br />
je huyu unayetafuta unataka vigezo vipi??? wewe ni mwenyeji wa mkoa gani???
<br />
<br />
nilitoka naye out nikamwelezea mambo yote aliyokuwa anafanya sipendezwi nayo. Akashindikana mwisho niliwahusisha kaka zangu na wake ambao wapo hapa dar ikashindikana. Nilimwandikia emails hajibu wala nini nikimtumia sms via facebook ananiblock nikimpigia simu ananiongelea kwa dharau na kashfa kibao.tuna miaka 3
nimtakae awe na elimu isiyopungua form 4. Awe maji ya kunde mrefu kama mimi 176 cm portable or mnene wastani, mpole, mtaratibu, umri bellow my age, awe ni mcha mungu na mwenye hofu ya mungu
<br />kila la heri katika suala hili ila kuwa makini kwani maamuzi mara nyingi hufanywa na nguvu ya mapenzi kwa wakati huo na kumbuka watu hubadilika kwa vile wana malengo fulani wayafikie ... ni pm
yep .....<br />
<br />
umeipata pm yangu?