wirewizard
Member
- Feb 14, 2014
- 75
- 56
Habari wanaJf.
Natafuta mke wa kuowa ambaye ni Mchamungu hata kama akiwa mgumba ni sawa tu. Nina watoto 4 (age yao ni 6yrs to 13). Mimi nina miaka 43. Mimi ni muislam wa vitendo na ninaishi Dar es Salaam
Ningependa my wife to be awe ana umri kati ya miaka 30 to 40.
Napenda mtu awe Serious, kabla ya kuni-PM.
Karibuni sana ndugu zangu katika Imani na Upendo wa kweli wa Mungu.
Asanteni.
Natafuta mke wa kuowa ambaye ni Mchamungu hata kama akiwa mgumba ni sawa tu. Nina watoto 4 (age yao ni 6yrs to 13). Mimi nina miaka 43. Mimi ni muislam wa vitendo na ninaishi Dar es Salaam
Ningependa my wife to be awe ana umri kati ya miaka 30 to 40.
Napenda mtu awe Serious, kabla ya kuni-PM.
Karibuni sana ndugu zangu katika Imani na Upendo wa kweli wa Mungu.
Asanteni.