hapo chacha!!!!Kampuni ya fedha..!??
Weusi sasa tunashika chat sasa
umeona ee mie hat ctamani mkorogo
Kuna mtu alinambia wanawake weusi kiasili ni watam sana kuna ukweli mlo pitapita huko
Nihitaji mwanamke wa kuowa, Mimi ni kijana wa kiume nimeajiliwa katika kampuni moja ya fedha hapa Dar, mashart awe mweusi, mnene wastani na mrefu wakati, elimu haijalishi na awe tayari kwenda kupima UKIMWIkabla ya yote!
Ni ukweli mbichiii ...tupo juu 😂😂😂
Kwani ushawahi kumlala mwanamke mweusi?