Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Chaki2016

New Member
Joined
Nov 23, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Habari wana Jf,

Najitokeza kwa mara yakwanza kusaka mke wakuoa kupitia jf kwani mke anapatikana popote alipo panga mungu.Mimi Ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28 ni mfanya biashara natafuta mke wakuoa umri 23-35, awe hana mtoto,sina ubaguzi wa elimu, dini, kabila, wala rangi. Karibu sana mwanamke single ambae unamadhumun ya dhati kuishi ktk ndoa daima kwani hutojutia,ni pm kisha weka namba ya simu kwa mawasiliano zaidi.

Nahitimisha asanteni
 
Habari wana Jf,

Najitokeza kwa mara yakwanza kusaka mke wakuoa kupitia jf kwani mke anapatikana popote alipo panga mungu.Mimi Ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28 ni mfanya biashara natafuta mke wakuoa umri 23-35, awe hana mtoto,sina ubaguzi wa elimu, dini, kabila, wala rangi. Karibu sana mwanamke single ambae unamadhumun ya dhati kuishi ktk ndoa daima kwani hutojutia,ni pm kisha weka namba ya simu kwa mawasiliano zaidi.

Nahitimisha asanteni

mwanamke miaka 35 asiwe na mtoto unataka mgumba?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom