Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

MPENDA USAWA

Senior Member
Joined
Oct 15, 2012
Posts
169
Reaction score
30
Me ni kijana wa 24,nimemaliza udsm,

Nimejiajiri nafanya biashara kati ya Tz na kenya,

Muislam kwa dini,

Makazi kwa sasa ni Arusha kutokana na biashara zangu ila ni mzaliwa wa dsm,

Natafuta mchumba ili nioe,

Vigezo vya mrembo huyoo lazima awe mwembamba(ugonjwa wangu),

Ajielewee,

Asiwe demu wa mizinga ndo kwanza naanza maisha!!

Umri asinizidi,

Awe tayari kupima HIV,

Pia mvumilivu kigezo kikuu,

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kusoma kwako kote na safari zako za kibiashara bado hujapata unayeita dem hadi uje huku kutafuta? well...nikutakie bahati njema!
 
Bado sijapata kipendacho Roho....@horseshoe

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Labda naweza bahatika na jamii forum#maana its all bout digitally jaman!!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Vijana wa dot com utawaweza basi, graduate hajui 'mke' ni mwanamke aliyeolewa? hawa mkuu wakickia kiu wanakunywa soda badala ya maji.
 
Humu ndani hamnaga kukosea!!ukikosea tu watu wanatumia iyoo opportunity kukukebehi!!haya semeni ila ujumbe si ushafika!!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Umesema wewe ni Muislam kwa dini.

Ni vizuri ungewaambia wachumba watarajiwa kama ni lazima nao wawe Waislam!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom