Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 29,elimu ni chuo kikuu,ni mwembamba kiasi ni mfupi kiasi alafu ni mweusi. nimtakae awe na umri wa miaka 20-27,elimu yake awe na masters,mweupe,asiwe mrefu,wala ubonge sana.Awe anaishi Dar es salaam,Pwani au Morogoro.
Aliye Tayari Ani Pm kwa mawasiliano zaidi.
Aliye Tayari Ani Pm kwa mawasiliano zaidi.