man of the year
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 422
- 205
habari zetu waungwana natumaini mpo sawa na mnaendelea na shughuri zenu za kila siku,dhumuni lililonifanya niweke ili bandiko n nia yangu ya kutaka kuoa hivi karibuni kama kuna mrembo mwenye hizi sifa naomba uniunganishe...
SIFA
1.awe ameisha tumia katika ujana wake mihadarati(atapewa kipaumbele)
2.hasipende kujichanganya kwa watu katika jamii tutakayo kuwepo(majirani)
3.hawe amesoma japo mpaka form 6 au amewai kuishi nchi yoyote ugaibuni
Asanteni sana.
SIFA
1.awe ameisha tumia katika ujana wake mihadarati(atapewa kipaumbele)
2.hasipende kujichanganya kwa watu katika jamii tutakayo kuwepo(majirani)
3.hawe amesoma japo mpaka form 6 au amewai kuishi nchi yoyote ugaibuni
Asanteni sana.