Natafuta mke wa kuishi nae

katto14

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2016
Posts
226
Reaction score
62
Mimi ni mwanaume wa miaka 30 natafuta msichana wa kuishi nae kama mke wangu hapo baadae awe na miaka 20 mpaka 26.

Aliye serious tuwasiliane awe na shughuli ya kufanya.
 
mimi ni mwanaume wa miaka 30 natafuta msichana wa kuishi nae kama mke Wangu hapo baadae awe na miaka 20 mpaka 26 aliye serious tuwasiliane awe na shughuli ya kufanya
 
Wewe ni mwanaume bana. Wavulana wapo chekechea
 
Una sababu gani ya kuanzisha Uzi wakati kuna wanawake wameanzisha nyuzi nyingi za kutafuta waume tena wenye sifa kama zako!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…