Natafuta mke umri kati 18 had 34

Natafuta mke umri kati 18 had 34

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,900
Mimi ni Mwanaume wa miaka 34 ninatafuta Mke wa kuoa haraka iwezekanavyo, sina Mtoto dini ni mkatoliki nataka kuoa haraka!

Sichagui Dini wala kabila wala rangi yoyote tu nipo tayari.

Shart ni moja tu!
Lazima awe mshabiki mwaminifu wa Chelsea. Kama wewe si mshabiki wa Chelsea usitume SMS in box pls. ImageUploadedByJamiiForums1448164241.301506.jpg
 
Dogo au serious na mke unaemtafuta? Yaani ni bora hata awr anajiuza Kona Bar au Kimboka ila asiwe shabiki wa Chelsea???

Inawezekana una 34 lakini bado ni mvulana, hujaanza kujitambua bado!
 
Dogo au serious na mke unaemtafuta? Yaani ni bora hata awr anajiuza Kona Bar au Kimboka ila asiwe shabiki wa Chelsea???

Inawezekana una 34 lakini bado ni mvulana, hujaanza kujitambua bado!

Ni mwema sana huyu! Anavumila shida na raha!
 
Haahahahaaha too bad im a die hard fan wa crystal palace!!!😂😂😂😂😂
 
Duu,kama mume ndio huyu mie basi,nawachia mashabiki mie nini kua shabiki sipendi hasa mpira naona tafran tuu na kelele..
 
Mimi ni Mwanaume wa miaka 34 ninatafuta Mke wa kuoa haraka iwezekanavyo, sina Mtoto dini ni mkatoliki nataka kuoa haraka!

Sichagui Dini wala kabila wala rangi yoyote tu nipo tayari.

Shart ni moja tu!
Lazima awe mshabiki mwaminifu wa Chelsea. Kama wewe si mshabiki wa Chelsea usitume SMS in box pls.View attachment 306939

We ni kilaza kweli mpira na ndoa wap na wapi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom