Natafuta mke mwema,mcha mungu mlutheri,mchagga,mweupe,awe anashughuli zake binafsi au ameajiriwa,awe na elimu ya kidato cha 4 tu na si zaidi, awe tayayari kuanza maisha kuanzia ngazi ya chini kabisa,awe na urefu wa wastani,asiwe mtu wa kimbelembele au kujifanya much~know/mwenye sifa hizo ani pm imediately nawakilisha!!!