Natafuta mke muathirika wa VVU

Natafuta mke muathirika wa VVU

Mushka

Member
Joined
Nov 15, 2014
Posts
25
Reaction score
11
Wadau poleni na majukumu. Mimi ni mwanaume umri miaka 31 naishi dar nimeathirika na vvu. Hivyo natafuta mke mwenye vvu ili tuishi kwa matumaini. Nimetafakari muda wa kuoa umefika.Nina afya njema sana yeyote mwenye nia ya dhati ani pm
 
Wadau poleni na majukumu. Mimi ni mwanaume umri miaka 31 naishi dar nimeathirika na vvu. Hivyo natafuta mke mwenye vvu ili tuishi kwa matumaini. Nimetafakari muda wa kuoa umefika.Nina afya njema sana yeyote mwenye nia ya dhati ani pm

Uzi huu umepotea njia. mods please!
 
Kila la kheri ndugu,mod pelekeni jukwaa husika
 
Utapata mkuu.La msingi ukienda clinic Ni rahisi zaidi.
 
Wadau poleni na majukumu. Mimi ni mwanaume umri miaka 31 naishi dar nimeathirika na vvu. Hivyo natafuta mke mwenye vvu ili tuishi kwa matumaini. Nimetafakari muda wa kuoa umefika.Nina afya njema sana yeyote mwenye nia ya dhati ani pm

Umri tu kufika si hoja uwezo wako wa kipato vipi? Una kazi au biashara ya kueleweka au unatafuta pa kujiegesha.Si unajua mwathirika anahitaji tiba za mfululizo,chakula cha kueleweka na kadhalika.Uwezo wa kutunza unao? Jieleze vizuri kazi yako,dini,elimu n.k si unajua wengine wana nyodo wakisikia mtu darasa la saba hawataki weka CV HAPA NA UWEZO WAKO.kUOA SIKU HIZI NI KAMA KUTAFUTA KAZI INABIDI UWEKE CV yako ndio usikie kasichana kanasema niko tayari kuolewa kawe kana ukimwi au hakana.
 
Mungu akuongoze katika mema na akuzidishie afya njema umpate mwenza atakayekupa raha na furaha...kumbuka kuumwa sio kufa kwa hiyo hupaswi kujisikia mnyonge kwa kuwa sote hapa duniani ni wapiti njia tu na kwa muumba tutarejea ingawa kila mmoja kwa style yake na kwa wakati wake AMEN.................
 
.. Mimi ni mwanaume umri miaka 31 naishi dar nimeathirika..natafuta mke mwenye vvu ili tuishi kwa matumaini. Nimetafakari muda wa kuoa umefika.Nina afya njema sana yeyote mwenye nia ya dhati ani pm
Yaani kuathirika ndio sifa pekee??!!! Love in between haihusu?!!!
 
Mungu akuongoze katika mema na akuzidishie afya njema umpate mwenza atakayekupa raha na furaha...kumbuka kuumwa sio kufa kwa hiyo hupaswi kujisikia mnyonge kwa kuwa sote hapa duniani ni wapiti njia tu na kwa muumba tutarejea ingawa kila mmoja kwa style yake na kwa wakati wake AMEN.................

Umemfariji vizur sana, kuugua sio kufa... waathirika wapo wengi sio peke yake
 
Uzi hauna shida, lkn naamini haukupaswa kuletwa jukwaa la siasa.

sawa mkuu nimekuelewa...labda ilikuwa strategy ya kuwafikia watu wengi...wengine wanasema watu wakiwa jukwaa la siasa wako serious zaidi!
 
sawa mkuu nimekuelewa...labda ilikuwa strategy ya kuwafikia watu wengi...wengine wanasema watu wakiwa jukwaa la siasa wako serious zaidi!

Asante mkuu. Modes naona wameshahamisha. Wish u all the best
 
Health status siyo kigezo cha ndoa chamsingi ni upendo....wewe jamaa ni mbaguzi sana
 
Health status siyo kigezo cha ndoa chamsingi ni upendo....wewe jamaa ni mbaguzi sana

kuwa wazi kuhusu health status si ubaguzi...nadhani usingefurahi kwa mfano aoe mwanamke asiyeathirika aje alijue hilo akiwa kwenye ndoa!!
 
Umemfariji vizur sana, kuugua sio kufa... waathirika wapo wengi sio peke yake
Kweli mkuu tatizo wengi tunapumbazwa na mambo ya kidunia na kusahau kuwa hapa sisi ni wapitaji tu, ni kama mtu aliyepumzika chini ya mti wenye kivuli wakati safari yake bado haijaisha
 
tuma no yako nikuunganishe na mdada. hayupo jf ila anakufaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom