Natafuta mke mtarajiwa

Natafuta mke mtarajiwa

YAHERI MUNGU

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
318
Reaction score
215
Mimi nina umri wa miaka 35 na ndiyo niko kwenye Ujasiliamali. Muda wangu sasa wa kuwa na mke naona kuwa ndiyo huu hapa.

Sijawahi kuwa na mwanamke kabla. Hivyo kwa sasa ninamuhitaji niwe naye. Mwanamke anayetakiwa awe chini ya umri wa miaka 35.

Makazi yangu mimi yako hapa Dar es Salaam. Kwa atakayekuwa tayari, tafadhari tuwasiliane kwa maongezi zaidi.

Asanteni.
 
Sijaelewa hujawahi kuwa na mwanamke kwa muda wote wa miaka 35? Thats very unique chaaa!. Anyways best of luck
 
All the best[/QU

Naamini MADA imeeleweka vizuri. Kufanya mambo ya kikubwa na kuwa na mke ni vitu viwili tofauti. Pia, hakuna umri maaluma ambao mtu analazimishwa kuwa na mumu au mke. Mtu anapofikia hatua ya kuamua kufanya jambo kwa muda sahihi, ndiyo hicho hasa cha msingi. Kuna watu wanaoa na kuolewa zaidi ya huo umri. Sasa sijajua hasa kilichokushangaza ni nini!! Mbona hukumshangaa Prince Charles wa Malikia Elizabeth alipooa katika umri hule? Asanteni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom