Natafuta mke mcha Mungu na mcheshi

Natafuta mke mcha Mungu na mcheshi

Kitungambele

New Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
3
Reaction score
0
Mimi ni mkristo umri miaka 30 natafuta rafiki wa kike ambae baadae anaweza kuwa mke wangu ila ajipime huko kwanza na awe tayari kuja kupima na mimi.

Awe anajua kusoma na kuandika, mtoto moja anatosha, nipo dsm.
 
Chunga usiingie kwenye mtego wa single mothers au hawa wenye elimu kubwakubwa utakuja jifia siku si zako kwa msoto na vipengele utakavyokutana navyo!.
 
Oa mwanamke mzuri achana na mcha Mungu

Kanuni ni moja tu, utakula kibaya na wenzio au ule kizur na wenzio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom