hhaahaahaaa napitaa
Usimcheke kama bado mpe nafasi akupose!
Ndugu yangu humu mke mwema ngumu kumpata wengi wana matatizo yao!
duh
matatizo gan ndugu?!
Ha ha ha ha ha unataka kuyajua?
mimi ni mfanyakaz idara ya fedha ktk halmashaur flan hapa tz natafuta mchumba au mke wa kuoa ambae tayar ni muajiriwa serikalin pia.
sijasema wizara nimesema idara alafu sio kila anaefanya kaz idara ya fedha anashika pesa wengine niwahudumu wa ofisi tu !kwahy usije kwa kuvutiwa na hilo Neno fedha!Hahahaha jamaa amegundua wadada siku hizi wanapenda zaidi mkwanja ndio maana ameamua kuweka wazi kuwa anafanya kazi wizara ya pesa ili kuwavutia???
mimi ni mfanyakaz idara ya fedha ktk halmashaur flan hapa tz natafuta mchumba au mke wa kuoa ambae tayar ni muajiriwa serikalin pia.