Hiyo ya TFA huwa ni ile ya Magunia ya katani..ninayohitaji mimi ni ile ya Nylon...
unataka kilo 50 au kilo 100 pc ngapi ninayo dukani kwangu.Wanajamvi naomba kujuzwa sehemu wanapouza mifuko ya Jumla ya Kuhifadhia Mazao,kwa bei ya Kiwandani..ama hata sehem kilipo kiwanda cha uzalishaji...Natanguliza Shukrani.