Natafuta mganga

Natafuta mganga

lekete

Member
Joined
Mar 21, 2016
Posts
15
Reaction score
19
Natafuta mtaalam/mganga wa ukweli. Kwa yeyote ambaye amewahi kupata huduma kwa mtaalamu na akamfanikishia, tafadhari ni PM unisaidie maelekezo ya alipo huyo mtaalamu. Sihitaji wahubiri hapa, hata mimi Mungu namjua. Nipo serious, sipo kufanya masihara. Tafadhari. Naishi dsm
 
Ungesema unatafuta nabii huu uzi saivi ungekuwa unaelekea page ya 46 na asilimia 50 ya post wangekuwa wamekutukana ila kwa vile ni mganga hiyo sio shida na wala haisumbui kabisa
 
Nenda kwenye mabandiko ya Mshana jr utenge japo wiki nzima ya kupitia taratibu.kule mwisho utagundua mganga wa kutatua matatizo yako ni wewe mwenyewe,anzia hapo kuwakomesha walokukosea
 
Nenda kwenye mabandiko ya Mshana jr utenge japo wiki nzima ya kupitia taratibu.kule mwisho utagundua mganga wa kutatua matatizo yako ni wewe mwenyewe,anzia hapo kuwakomesha walokukosea
Duh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom