Natafuta mganga wa jadi

hiyo salamu tu aliyoanza nayo kwenye post ake nshajua dini yake huwa wanaamini sn hizo mambo watu wa dini hiyo kuliko hata kufanya kazi.Ukikwama kabisa mtafte MZIZI MKAVU manake ye anajua tiba ya kila tatizo

Mzizimkavu naweza mpata wapi mkuu.
 
unaweza kufikia Roho ya mtu aliyekufa, Roho ya kiumbe mbinguni kuzimu kwa kupitia Mganga "mwanadamu". Tukienda huko tunaamini mwisho na si njia.
Aaah kwenda zako... uongo huo
 
Aaah kwenda zako... uongo huo

mkuu, mahusiano ya nguvu za giza na nuru sina uhakika kama wanadamu tunastahili kuyafahamu; yamefichwa sana, ila bado njia ipo wazi kumfikia Mungu kupitia kwa Shetani na kinyume chake, japo angalau kwa ngazi ya matendo.
 

Wote mnavyoongea kama vile wacha wa mungu maisha yenu yote msaidien mwenzenu na sio kujifanya wacha wa mungu hiyo ipo wazi kwa wa afrika asilimia 80 ya waafrika kila mtu ana mganga wake
 
Ungeandika tu ni nini kinakusumbua, huenda kupitia mawazo ya watu humu ndani ungepokea msaada mkubwa. Achana na mambo ya Waganga, hao kuku, mbuzi, ng'ombe au chale utakazochanjwa tambua damu itakayotoka hapo ndio Agano linapoanzia na hiyo mizimu, hio mifugo unayoitoa ni sadaka. Utaendelea kuwa chini ya shetani mpaka pale utakaporuhusu Yesu abadilishe maisha yako, Okoka ndugu yangu na umshike Yesu kisawasawa.
 

kwani wewe aliekwambia yeye anagonjeka nan?? amekuambia ni mjasiriamali sawa hajataja kitu amelaania amtegemeae mwanadam na kumfanya kua kinga yake na moyon mwake lazma amemuacha bwana kusulumalaa
 
Nipm nikupe. Achana na hao wanajifanya wajanja kumbe wanaenda kwa siri kaka
 

Nimekukubali sana kwa ushauri ulio utoa mkuu, upo vizuri na hongera sana.
 
Nenda kwa sheikh yeyote aliye karibu yako.
Au nenda msikitini kwa maelezo zaidi.
 
Ngoja niwasiliane na jamaa yangu anayeishi Dodoma atutafutie namba ya mzee Kingunge
 
Nenda Dodoma, yupo mwakilishi wao kwenye bunge la katiba
 
Unajua smts inabidi tujiulize ni tajiri yupi anaeweza kujitokeza hadharani na kujigamba kuwa hajawahi kutenda dhambi(kumjibu wa dini zilizoletwa na meri) ktk utaftaji wake? mi naamini hayupo na hatakuwepo kamwe zaidi ya kugubikwa na sintofahamu na mizengwe mingi ya makafara!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…