Natafuta mfanyakazi wa stationery

Natafuta mfanyakazi wa stationery

Nchomali

Senior Member
Joined
Jan 28, 2016
Posts
111
Reaction score
44
Wapendwa natafuta Mfanyakazi wa Steshenari,Kituo cha Kazi ni Picha ya Ndege-Kibaha,na awe Anaishi Picha ya Ndege au Kibaha -Maili Moja, awe na ujuzi na vifaa vya steshenari,kama Printa,Compyuta n.k, Pia Ajitegemee malazi ,Malipo ni maelewano baada ya kupatikana. Asanteni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom