Kweli maswali ni mengi kuliko majibu. Mtoto yupo Dar sijui peke yake, mzazi upo Kilimanjaro. Huu ni uzungu au? Mtoto ana umri gani, ni me au ke? Ni mlemavu au? Mwaga info hapa na qualifications za yaya unaye mtaka sio hiyo moja tu ati asiwe mcharuko. Umwachie nyumba na mtoto halafu uje ukaseme alikuja mcharuko?
Kweli sijui huyo mtoto alikufanyaje mpaka umwache kwa yaya. Udhungu mwingine bana agrrrrr