Natafuta mdada/Jimama kuliwazana

mhnk

JF-Expert Member
Nov 25, 2011
637
304
Nina maisha yangu fresh..niko lonely..umri 39...ninayemtafuta awe na maisha yake fresh,anajielewa na ana shepu"kafungashia"..ukiwa serious ni pm..ni kuliwazana tu sio kulizana p'se...
 
JF ina wanaume tu!
avatar zisikudanganye mkuu..!
Tafuta Dating Sites.. utawapata wa kila aina..
 
wata nipm nitawajua tu...badoo!sitafuti kahaba.....
 
Kama una 39 then unatafuta jimama tafadhal badilisha heading sema natafuta kikongwe....nduki
 
Nina maisha yangu fresh..niko lonely..umri 39...ninayemtafuta awe na maisha yake fresh,anajielewa na ana shepu"kafungashia"..ukiwa serious ni pm..ni kuliwazana tu sio kulizana p'se...
Njoo mtaani kwetu wamejaa unaitwa mtaa wa wajane na wameachiwa pesa za kutosha .wanatafuta wakutumia nao ila usije uliza waume zao walikufaje
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…