mjasiliamali14
Senior Member
- Jan 5, 2014
- 147
- 21
Mm ni mtanzania nisiye na makuu naitaji mwenza kma maandiko yavyosema mwanamke atamuacha mamaye na babaye na kuambatana na mumewe wawe kitu kimoja cbagui dini wala kabira umri kuanzia miaka 20-29 elimu kuanzia kidato cha nne