Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

mbogawile

Member
Joined
Sep 15, 2015
Posts
41
Reaction score
1
natafuta mchumba,mim ni bint wa miaka 29,ni mnene,natafuta mume wa kabila lolote,kwa aliye tayar kuwa baba wa watoto wangu.
 
natafuta mchumba,mim ni bint wa miaka 29,ni mnene,natafuta mume wa kabila lolote,kwa aliye tayar kuwa baba wa watoto wangu.

Uko too general be specific tuje bana aah
 
natafuta mchumba,mim ni bint wa miaka 29,ni mnene,natafuta mume wa kabila lolote,kwa aliye tayar kuwa baba wa watoto wangu.



Kwan Kabila Tu Ndio Kigezo Muhm. Muhm Kusema Dini Yako. Lakini Wewe Mwenyewe Umejiandaa Kuwa Mke Na Mama Watoto? Je,unazijua Sifa Za Mwanamke Anaestahl Kuwa Mke? Kama Uzijui Ni pm Nikupe.
 
Kwan Kabila Tu Ndio Kigezo Muhm. Muhm Kusema Dini Yako. Lakini Wewe Mwenyewe Umejiandaa Kuwa Mke Na Mama Watoto? Je,unazijua Sifa Za Mwanamke Anaestahl Kuwa Mke? Kama Uzijui Ni pm Nikupe.

Namimi ni pm nazo
 
Kwani vigezo vya kuwa mke vikoje..... nivijue mapema labda sina na umriii huooo unaniaga
 
natafuta mchumba,mim ni bint wa miaka 29,ni mnene,natafuta mume wa kabila lolote,kwa aliye tayar kuwa baba wa watoto wangu.

Naomba nitafute hapa 0655191544, mimi namtafuta mwanamke mnene please. Thankfully.
 
Kwani vigezo vya kuwa mke vikoje..... nivijue mapema labda sina na umriii huooo unaniaga

Kwanza usiogope kivuli chako.
Hakuna sehem au mahali palipo weka ukomo wa umri wa kuolewa.
Jipende, jiamini na kwahakika wako wa maisha atakuja pasipo kutaraji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom