rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,713
Mwambie siku akiwa tayari kuwa na mtoto akutafute muendelee....
Sawa mkuu!
Kila la kheri
Mwambie siku akiwa tayari kuwa na mtoto akutafute muendelee....
Hahaaa... Mm nataka Rafiki wa kike
Sawa mkuu!
Kila la kheri
Unataka Mchumba kutoka UKAWA ama ACT?
Hata wewe pia unakaribishwa!
ccm hahah!
Mshahara wako digts ngapi????
Niko njian..naja
Afadhali umenisaidia kumuelimisha huyo "materialistic partner"Imeandikwa mwanadamu hataishi kwa mkate tu bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha BWANA MUNGU!
Mbona hufiki? Au umekumbwa na foleni?
unafanya kazi gani?
Wapo kwenye keybodi wanakuja.
Wajawazito tunaruhusiwa kuapply?