Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

SJUMAA26

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
607
Reaction score
168
Wakuu,

Natafuta Mchumba mwenye umri wamiaka 18 – 24, elimu angalau kidato cha 4 na asiwe mnene wala mwembamba sana.Mimi ni kijana wa miaka 27, nina elimu ya Chuo na nampenda sana Mungu. Aliyetayari awasiliane nami kupitia sjumaa26@yahoo.comau kupitia "private messages".

Karibuni sana!
 
Sasa wewe jinsia yako ipi husemi unaweza kupata mwanaume mwenzio au mwanamke mwenzio
 
Unataka Mchumba kutoka UKAWA ama ACT?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom