Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

simoni joseph

Member
Joined
Jul 27, 2015
Posts
26
Reaction score
0
Naitwa James wa Mbezi Beach natafuta mchumba wa kumuoa awe mtanzania na mwenye maadili mazuri awe na umri wa miaka 18-23 cos Mimi ninamiaka 25 na ninafanya kazi Selikalini.

Kwa aliye tayari nitafutie namba 0718807894
 
Mtaani kwenu au katika nyumba za ibada wapo wengi. Hapa utaokota matango pori.
 
akiwa mganda kama wadaimondi hafai acha ubaguzi warundi kibao wamekimbia vita
 
Naitwa James wa mbezi beach natafuta mchumba wa kumuoa awe mtanzania na mwenye maadili mazuri awe na umri wa miaka 18-23 cos Mimi ninamiaka 25 na ninafanya kazi selikalini kwa haliye tayali nitaftie namba0718807894

kifoo kifoo kifo hakina huruma
trentee trete teeee!!
 
unatafuta sukari kwenye kopo la chumvi😀
 
acheni kumkatisha tamaa ndugu yule mama wa mjengoni kitoa sauti ya redio si yupo singo,au yule ex wa mzee wa ngororo hakufai kweli fanya huo mpango
 
Are you serious? Nakushauri uende kanisani kwa maombi, kufunga na kusali kwa siku 40, na utafanikiwa! Kama huwezi nenda hapo Amsterdam Pub, Ambrosia, Limeric Pub, Target na Open beach kule girafe na whitesands utapata tena bikra! Ikishindikana kabisa nenda kona bar! Nafikiri hapa kichwa chako kitajua ipi sembe na ipi ni pumba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom