Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Serengeti na jobless, uneducated no pls
Halafu mimi sio mama ni dada so pls
acha mizaha na matu hpana
 
Aisee hivi uchumba sio taasisi? Kwa nini inachezewa hivi?
 
dont trust jf people hawako serious kabisa humu.......unawezekeza akili...garama....mawazo....imani kwa mtu bt yeye atakufanya kama anachezza game la zuma.....bora ufatilie wale dada wauza vitumbua genge la jirani wanaweza kuwa na utu au wakawa na true love....ila humu mmmh utaharibiwa dreams plus feelings.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom