Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Pate_15

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
156
Reaction score
48
Serious,

Mimi ni mwanaume (mvulana) wa miaka 26,,Jina langu ni hili nalolitumia humu JF.

Ni mhitimu wa college kwa sasa nafanya shughuli za ufundi na biashara,nina mtoto mmoja wa kiume ambaye anaishi na bibiake,nilitengana na mama wa mtoto kwa sababu ya mabadiliko yake ya tabia hivo tukashindwana.

Mimi naishi Dar es salaam,nimepanga mean naishi mwenyewe na ni mkristo...kwasasa nahitaji niisha na mwanangu ila siwezi bila msaidizi..hivyo natafuta mchumba (mwanamke) ambaye baadae awe mke wangu wa ndoa..

sichagui kabila muhimu ni kujitambua na tabia njema..

aliye tayar aniPM ili nimpe contact zingine.
ahsante
 
Serious,
Mimi ni mwanaume (mvulana) wa miaka 26,,Jina langu ni hili nalolitumia humu jf.
Ni mhitimu wa college kwa sasa nafanya shughuli za ufundi na biashara,nina mtoto mmoja wa kiume ambaye anaishi na bibiake,nilitengana na mama wa mtoto kwa sababu ya mabadiliko yake ya tabia hivo tukashindwana.

mimi naishi dar es salaam,nimepanga mean naishi mwenyewe na ni mkristo...kwasasa nahitaji niisha na mwanangu ila siwezi bila msaidizi..hivyo natafuta mchumba (mwanamke) ambaye baadae awe mke wangu wa ndoa..

sichagui kabila muhimu ni kujitambua na tabia njema..

aliye tayar aniPM ili nimpe contact zingine.
ahsante

Hapo mtaani, na huko kanisani unakoenda hakuna mabinti wanaofaa au unaona soo kuwatokea.

Kila la kheri mvulana.
 
Nenda mitaa ya rozana-buguruni au jaribu cornerbar ambiance ukikosa maeneo hayo nenda kwa sangoma akuoshe nuksi.
 
Namtaka kutoka humu humu jamani kupanga ndo kuchagua et
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom