Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

BUZINEM

Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
16
Reaction score
2
mimi ni kijana wa miaka 30 nafanya kazi katika kampuni ya paraguya foundation iliyopo dareslaam natafuta mchumba
 
kiwatengu, kwani yale ya mtongozo live si kichit chat zaidi?
 
Last edited by a moderator:
Unamtafuta mchumba amepotea au?kwani yeye alikuaga anaenda wapi???umetoa taarifa polisi??pole mkuu.
 
mimi ni kijana wa miaka 30 nafanya kazi katika kampuni ya paraguya foundation iliyopo dareslaam natafuta mchumba

ngoja waje...

mostly wamelala!

Sleeping-Man.jpg
People-sleeping-in-libraries-1-650x366.jpg

6120_conference%20batch%202.jpg

90487076_53d0b35e1e.jpg

sleeptalkers.jpg
 
Mazoezi yamekushinda mechi utaiweza?
 
Duh nimekuja fasta tena kitu hata hakina masharti ngoja nikamate fursa
 
ifikie kipindi sasa kuwe na daftari maalum la wachumba... walioko kwenye ndoa, walio single, brokes, nk!

vijana wajijue kabisaaaa kuliko kuhangaika mitaani bure bure tu...
 
nashukuru kwa maoni yenu but vigezo uyo mwanamke awe mweusi,na mwembamba
 
sijambo shkamoo shemeji hata sijui ka mzima au kakatika maana yuko kwa bi mdogo leo.

bi mdogo yupi tena? ina maana Window7 kawakusanya kama mafungu ya nyanya?
 
Last edited by a moderator:
bi mdogo yupi tena? ina maana Window7 kawakusanya kama mafungu ya nyanya?
shemeji kwani humjui mke mwenzangu? Hajatukusanya bwana wenye tumekubaliana tunasaidiana majukumu Window ana karaha kweli peke angu simuwezi.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom