Natafuta mchumba

kweli ile picha imekukwaza babu hii mara ya pili unaongea sio mm yule alijiskia tu kuongea sasa na yule wa jana alieibuka na kunianzishia thread na kuweka mapicha yake naona hujamuona sio mm kabisa
Ndio ujue nakupenda, sema tu naogopa kukuambia...

Usijali, ntadeal nao hao wanaokuchafua.
 
Mm ni BINTI wa miaka 25 elimu yangu ni form four,natafuta mchumba alie tayari kua kwenye mahusiano na baadae kua mume.sichagui dini wala kabila,ila awe mkweli
Hcho kigezo cha ukwel ndio kimenishnda maana nikianza kukutia sound tu nadanganya
 
ushauri wa bure: kuwa makini sana, kuna waru watataka kukutumia maana upo vulnerable sasa hivi,, uharaka wako wa kupata mchumba usikufanye ukawa kipofu, dont try to force things. stay smart.
 
hivi haya machance huwa yanatoka saa ngapi mbona nikija nakuwa nishachelewa ?
 
Omba kibali kwa Mods... fasta unaingizwa at your own risk

naombaje kibali mkuu wangu, eb nipe procedure maana sielewi namna ya kuomba hicho kibali. na kuna risk jani tena huko
 
Mimi ni binti wa miaka 25 elimu yangu ni form four, natafuta mchumba alie tayari kua kwenye mahusiano na baadae kua mume, sichagui dini wala kabila, ila awe mkweli.
Njoo pm kama kweli .jee mume maskini unamtaka?
 
Mimi ni binti wa miaka 25 elimu yangu ni form four, natafuta mchumba alie tayari kua kwenye mahusiano na baadae kua mume, sichagui dini wala kabila, ila awe mkweli.
ALIYE TAYARI KUA KWENYE MAHUSIANO,

INA MAANA WE UNAPENDA UZINIWE KWANZA

SICHAGUI DINI

INA MAANA WEWE KWAKO DHAMBI NI KAWAIDA TU

DUH, KWA HAYO MAWILI NGOJA WAJE UZINIWE
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…