Natafuta mchumba wa kuoa

Natafuta mchumba wa kuoa

Joined
Sep 27, 2015
Posts
83
Reaction score
15
Habar! Wanajamii forum ni iman yangu kuwa hamjambo.
Naitwa ibrahim mm ni mwalim mwalim wa shule ya msingi nimeanza kazi mwaka jana....umri wangu ni miaka 25.
Natafuta mchumba wa kuoa mwenye sifa zaifuatazo.
1; awe mrefu kiasi asiwe mrefu sana
2;dini yeyote
3; mwenye elimu yoyote ilimradi ajitambue
4; umri kuanzia miaka18--23
Sichagui rangi
Awe mcheshi
Kwa yeyote ambaye yuko tyar fanya mawasiliano nami kupitia
0683708181 au njoo katika ukurasa wangu wa fb Mahaba na mautundu ya kitandani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom