Jawai
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 530
- 405
Habari za leo wana JF.
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25, mpole na mwenye hofu ya mungu, nina elimu ya chuo kikuu na nimeajiliwa. Natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 19 - 23, elimu ya form 4 au 6, hawe tayari kusimamia biashara siku za baadae kama si muajiriwa, muislamu na sipendi anayevaa suruari. Kwa yeyote aliye tayari au mwenye ndugu yake anayekithi vigezo naomba ani PM kwa maelezo zaidi.
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25, mpole na mwenye hofu ya mungu, nina elimu ya chuo kikuu na nimeajiliwa. Natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 19 - 23, elimu ya form 4 au 6, hawe tayari kusimamia biashara siku za baadae kama si muajiriwa, muislamu na sipendi anayevaa suruari. Kwa yeyote aliye tayari au mwenye ndugu yake anayekithi vigezo naomba ani PM kwa maelezo zaidi.