Natafuta mchumba wa kuoa wa kufunga nae ndoa

Natafuta mchumba wa kuoa wa kufunga nae ndoa

mattargsm

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2016
Posts
391
Reaction score
150
Nadhani topic iko wazi mimi ni mzanzibar mwenye asili kiarabu miaka yangu 37 nina mke moja elimu form four kazi fundi wa simu nimrefu maji wa kunde mnene kidogo.

Sifa za mke ninae mtaka ni awe muislam vipindi 5 vya swala bila ya kuhimizwa, awe mrefu mwekundu mwembamba elimu formsix diploma au chuo awe ana uzoefu wa computer au simu kuijua vyema maana nataka kumpa ujuzi wa ufundi wa simu.

Makazi yetu itakuwa Tanzania bara. Kingine awe mpole asiwe jeuri wala muongo hatutawezana, awe napenda watu wafanikiwe sio wapate hasara hata ikawa unamtoto sio shida.

Asiwe muajiriwa
 
Hili jambo huwa linanishangaza sana, yaani unakuta mtu anatafuta mke au mume anaweka vigezo ambavyo ukiviangalia hivyo vigezo hata nusu yeye mwenyewe hana.
 
hapo kwenye SWALA 5 ni nadra sana kupata mwanamke wa aina hiyo labda uko ZANZIBAR
 
Hili jambo huwa linanishangaza sana, yaani unakuta mtu anatafuta mke au mume anaweka vigezo ambavyo ukiviangalia hivyo vigezo hata nusu yeye mwenyewe hana.
mkuu unashangaa nin? Kwamba hawapo wenye hvo vigezo au
 
mkuu unashangaa nin? Kwamba hawapo wenye hvo vigezo au

Nadhani hujanielewa mkuu, kwa mfano unakuta mtu anatafuta mwenza anasema awe ni mzuri, mweupe, msomi, ana tabia nzuri n.k lakini ukiangalia hivyo vigezo yeye mwenyewe hana kimoja.
 
Mh!hiyo ya awe mwekundu imeniacha hoi.Wadau hivi mtu mwekundu yupoje?
 
Back
Top Bottom