Lukende
Member
- Jul 22, 2017
- 8
- 12
Hi jamani,
Naitwa Marry nipo Mbeya, natafuta mchumba wa kunioa. Nina miaka 20 tu na elimu nlionayo ni ya Kidato cha sita, hivyo basi nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
Awe mrefu wastani kuanzia foot 5-6.
Awe amesoma angalau had fom four
Awe ameajiliwa au anejiajiri sawa tu
Awe mkweli na mwenye busara.
Naitwa Marry nipo Mbeya, natafuta mchumba wa kunioa. Nina miaka 20 tu na elimu nlionayo ni ya Kidato cha sita, hivyo basi nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
Awe mrefu wastani kuanzia foot 5-6.
Awe amesoma angalau had fom four
Awe ameajiliwa au anejiajiri sawa tu
Awe mkweli na mwenye busara.