mlengamillo
Member
- Nov 19, 2007
- 9
- 0
Mimi ni mvulana
Nna miaka 31, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu-BA
Nna watoto wawili
Sifa:
Awe na umri kati ya 25-28
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana
Tuwasiliane kwa pm
Nna miaka 31, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu-BA
Nna watoto wawili
Sifa:
Awe na umri kati ya 25-28
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana
Tuwasiliane kwa pm